Mhudumu wa pili alianza kuhisi ana homa siku ya jumanne na akalazimika mara moja hospitalini hapo.
"Madaktari wamemchunguza mgonjwa wa sasa ili kubaini muingiliano na hatari za maambukizi kwa watu alioshirikiana nao,na watu hao wazidi kuangaliwa",ilieleza taarifa hiyo.
Wauguzi wote wlimhudumia mwathirika wa Ebola Thomas Duncan,ambaye anaaminika kupata ugonjwa huo alipokuwa nchini Liberia.Thomas alifariki kwa ugonjwa huo tarehe 8/10/2014.
CHANZO: Daily Nation
0 comments:
Post a Comment