Wednesday, March 11, 2015

Wednesday, March 11, 2015

Kumetokea ajali mbaya  mjini Mafinga eneo la Changalawe  Mkoani Iringa baada ya abiria wanaodhaniwa kufikiwa 40 , wa basi la Majinja lilikuwa linatokea Mbeya kuelekea Dar es salaam  kufunikwa na kontena. 
Kwa mujibu wa Kamanda wa polisi mkoa wa Iringa, Ramadhani Mongi ajali hiyo imetokea asubuhi  ya leo.
Inasemekana idadi kubwa ya abiria hao wamefariki lakini Kamanda wa polisi mkoani Iringa, Bw.Mongi, akizungumza na vyombo vya habari kwa njia ya simu, amesema kuwa taarifa kamili kuhusiana na ajali hiyo itatolewa mara baada ya kukamilisha zoezi la kuitoa miili katika gari hilo.

  IMG-20150311-WA0007 IMG-20150311-WA0013    IMG-20150311-WA0014 IMG-20150311-WA0015

0 comments: