Tuesday, June 30, 2015

Tuesday, June 30, 2015


Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wakazi wa Nansio waliojitokeza kwa wingi kumpokea.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimina na mmoja wa wakazi wa kata ya Irungwa
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kijiji cha Sambi kata ya Irugwa.
 Wananchi wa Kata ya Irugwa wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (katikati) akiwapingia mkono wananchi waliojitokeza kumpokea kwenye kisiwa cha Ukara.

0 comments: