Wednesday, September 24, 2014

Wednesday, September 24, 2014

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba (Jukata), Deus Kibamba



Utaratibu mpya wa kuruhusu wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba watakaokuwa nje ya Bunge hilo siku ya kupiga kura wafanye hivyo kwa kutumia mtandao umepingwa na wananchi wa kada mbalimbali nchini. Uamuzi huo ulipitishwa na azimio la Bunge hilo baada ya mwenyekiti wake kuliongoza kufanya.
Habari Kamili

0 comments: