Hii leo nchini Msumbiji kuna fanyika uchaguzi Mkuu wa Rais,Wabunge na
wawakilishi wa majimbo, ambao ni wa kwanza wa kidemokrasia tangu nchi
hiyo kujipatia uhuru wake toka kwa Wareno.
Zaidi ya watu milioni
10 wamejiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa leo, ambao unaonekana
kuwa wa kwanza kidemokrasia tangu nchi hiyo ilipojipatia uhuru wake
kutoka kwa Wareno mwaka 1975.Zoezi la upigaji kura linatarajiwa kuanza saa tatu kwa saa za Afrika mashariki.
0 comments:
Post a Comment