Sunday, August 9, 2015

Sunday, August 09, 2015


NaibuWaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh.Pereira Ame Silima akizungumza wakati wa sherehe za ufungaji wa mafunzo ya awali ya askari polisi na uhamiaji,zilizofanyika leo kwenye Chuo cha Taaluma ya PolisiMoshi.



Naibu Inspekta Jenerali wa  Polisi ,Abdulrahman Kaniki akitoa hotuba yake katika mahafali hayo.


Baadhi ya viongozi wa Jeshi la Polisi wakifuatilia maonesho ya askari.


Askari Polisi wahitimu wakionesha umahiri wa kucheza Karate.


Askari Polisi wahitimu wakionesha Umahiri katika kutumia pikipiki wakati wa kudhibiti uhalifu.





Askari Polisi wahitimu wakionesha mbinu mbalimbali walizofundishwa .


Askari Polisi wahitimu wakionesha namna wanavyoweza kutumia bastola.






Askari Polisi wahitimu wakionesha nmna ya kushusha wagonjwa kutoka gorofani.

0 comments: