Thursday, September 3, 2015

Thursday, September 03, 2015
Wapendwa wasomaji wetu tuko kwenye matengenezo/maboresho ya blogu yetu, hivyo mtashuhudia mabadiliko ya mara kwa mara kwenye muonekano na mpangilio wa habari pamoja na picha. 

Hii yote ni katika kuwaletea muonekano mzuri, huduma nzuri, wepesi wa kufungua ukurasa wetu pamoja na wepesi wa kuifikia habari kwa haraka zaidi.

Tunaomba radhi kwa usumbufu unao/utakaojitokeza katika kipindi hiki.
Tunaomba pia kwa yeyote mwenye maoni na ushauri juu ya maboresho haya awasiliane nasi kwa anuani zetu tajwa hapo juu.

Durusadifu Blog/ Max Media 255 

0 comments: