Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Ndugu Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi
(CCM) Taifa jana Oktoba 15, 2014 katika kikao chake cha siku moja
kilichofanyika mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. Jakaya Mrisho
Kikwete imefanya uteuzi wa Makatibu 27 wa wilaya kuziba nafasi zilizo wazi
kutokana na sababu mbalimbali.
Makatibu wa Wilaya walioteuliwa ni kama
ifuatavyo;-
1. Ndugu Omar Mtuwa 15. Ndugu Hamis
Kananda
2. Ndugu Acheni Maulid 16. Ndugu Ali Yusufu Salum
3. Ndugu Mohamed Gwama 17. Ndugu Magreth
Mtatiro
4. Ndugu Amina Imbo 18. Ndugu Tabu
Lugwesa Zamalu
5. Ndugu Barnabas Nyerembe 19.
Ndugu Julius John Mbwiga
6. Ndugu Agnes Mfunya 20. Ndugu Rhoda George
7. Ndugu Raphael Maumba 21. Ndugu Lucy Boniface
Shee
8. Ndugu Naboth Manyonyi 22. Ndugu Helena Chacha
9. Ndugu Hamdan Haji
Machano 23. Ndugu Mafunda
Hamis Ali
10. Ndugu Agnes Ben Kasela 24. Ndugu Doris Kimambo
11. Ndugu Albert Stima 25. Ndugu Elizabeth Kasimiri
12. Ndugu Nobert Kibaji 26.
Ndugu Shaibu Ally Mtawa
13. Ndugu Kulwa Omar Milonge 27. Ndugu Mariam Yusufu
14. Ndugu Zitta Malyaga
Imetolewa na:-
Nape Moses Nnauye,
KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA TAIFA,
KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA TAIFA,
ITIKADI NA UENEZI
16/10/2014
16/10/2014
0 comments:
Post a Comment