- Hospitali ya Taifa ya Muhimbili;
- Taasisi ya Mifupa MOI;
- Hospitali ya Bugando.
- Magonjwa ya Moyo
- Magonjwa ya Wanawake
- Magonjwa ya Watoto
- Upasuaji na
- Mabingwa wa Dawa za Usingizi.
- LENGO LA KUANZISHA MPANGO HUO:
- Kuwapeleka Madaktari Bingwa katika mikoa yenye uhaba mkubwa wa madaktari bingwa na kuwatumia wataalamu hao wachache kitaifa;
- Kuwapunguzia wananchi gharama za usafiri kufuata huduma za madaktari bingwa katika miji mikubwa;
- Kurahisisha utaratibu wa kumwona daktari bingwa ambao wanaonwa kwa ahadi maalum;
- Kuwapa fursa ya kujifunza na kuwajengea uwezo wa kiutendaji madaktari walioko kwenye hospitali za mikoa hiyo.
| SN | MKOA | WAGONJWA WALIOONWA | WALIOFANYIWA OPERESHENI |
| 1 | Lindi | 258 | 6 |
| 2 | Kigoma | 754 | 37 |
| 3 | Katavi | 1276 | 37 |
| 4 | Rukwa | 1410 | 18 |
| Jumla | 3,698 | 98 |
| MKOA | TAREHE | MAHALI HUDUMA ZITAKAPOTOLEWA |
| Mara | 3/11/2014-8/11/2014 | Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara |
| Tabora | Mipango ya maandalizi inaendelea (wanachi watajulishwa) | |
| Manyara | Mipango ya maandalizi inaendelea (wanachi watajulishwa) | |
| Mtwara | Mipango ya maandalizi inaendelea (wanachi watajulishwa) | |
- CHANGAMOTO ZA MPANGO WA KUPELEKA MADAKTARI BINGWA MIKOANI:
- Idadi ndogo ya Madaktari Bingwa ikilinganishwa na wananchi wanaohitaji huduma hizo.
- Uhaba wa vifaa tiba vya kisasa, kama vile vipimo katika hospitali za mikoa ya pembezoni na
- Uhaba wa vitendea kazi na madawa ili kufanikisha zoezi hili.
0 comments:
Post a Comment