Friday, June 19, 2015

Friday, June 19, 2015
Baadhi ya wananchi  waliohudhuria mkutano huo katika kata ya Maruanga wakimshangilia  mbunge wao, Joshua Nassari
Nassari akiwaapisha wananchi katika kata ya Maruanga huku akiwataka kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.
Mbunge Joshua Nassari aki0nyesha moja kati ya magari mawili ya kubebea wagonjwa aliyotoa kusaidia wakazi wa jimbo la Arumeru Mashariki.

0 comments: