Friday, June 19, 2015

Friday, June 19, 2015
1
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwapungia mkono wakazi wa mji wa Kigoma  wakati akiwasili kabla ya kufanya mkutano wahadhara wa kutambulisha viongozi wa chama hicho.
5
Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo, Anna Mghwira, akiwapungia mkono wakazi wa mji wa Kigoma baada ya kuwasili kabla ya kufanya mkutano wahadhara wa kutambulisha viongozi wa chama.
6
7
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na msanii Baba Levo wakicheza wimbo wa chama kwenye mkutano wahadhara mjini Kigoma.Wimbo huo umeimbwa na msanii Baba Levo.
2 Wakazi wa Kigoma wakifuatilia mkutano wa hadhara wa chama cha ACT Wazalendo mjini Kigoma .
34

0 comments: